"Nimemuwekea Pingamizi Deodatus Mwanyika
kwa kuwa alikiri na kuhukumiwa kwa Ukwepaji Kodi na akalipa Fidia ya 1.5
Biliona pamoja na Fine ya 1.5 Million." Ameandika Emmanuel Masonga mgombea wa ubunge jimbo
la Njombe mjini kupitia
@ChademaTz kwenye ukurasa wake wa mtandao wa twita
0 Comments