Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Sunday N.Deogratius kwa mamlaka aliyopewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi.Ametangaza kuteuliwa bila kupingwa na kuwa mbunge wa Jimbo la Ludewa Bw,Kamonga Joseph Zacharius.
#NjombePressUpdates
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Sunday N.Deogratius kwa mamlaka aliyopewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi.Ametangaza kuteuliwa bila kupingwa na kuwa mbunge wa Jimbo la Ludewa Bw,Kamonga Joseph Zacharius.
#NjombePressUpdates
0 Comments