Mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi leo Agosti 7, 2020, umempitisha Yeremia Kulwa Maganja kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura 231 kati ya kura 258.
Mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi leo Agosti 7, 2020, umempitisha Yeremia Kulwa Maganja kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura 231 kati ya kura 258.
0 Comments