TANGAZA NASI

header ads

Lipumba ateuliwa na NEC

 

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Profesa Ibrahim Lipumba kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Wananchi (CUF) na mgombea mwenza, Hamida Abdallah Huweishi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020.

Post a Comment

0 Comments