TANGAZA NASI

header ads

MAKAMU WA RAIS ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU KWANDIKWA

 



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango na Mkewe Mama Mbonimpawe Mpango wakitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Marehemu Elias Kwandikwa katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam leo Agosti 6,2021.

Post a Comment

0 Comments