TANGAZA NASI

header ads

Msiwaue wadudu wachafushaji - Dkt. Kamatula

 




Jamii imetakiwa kuwatunza wadudu wachavushao kwa sababu ni muhimu kwa maisha ya binadamu na uzalisaji wa mazao mbalimbali, hivyo jamii inatakiwa isiwaue ili waendelee kutunufaisha

Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt. Gwakisa Kamatula katika uzinduzi wa onesho Maalumu la Wadudu Wachavushaji lilowekwa na Wahifadhi wa Baolojia wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaam kwa kushirikiana na wadau mbali mbali.

Post a Comment

0 Comments