Shirika la ndege Tanzania, ATCL latengeza hasara ya shilingi bilioni 60 mwaka huu, lakini kwa miaka mitano pia limekuwa likitengeneza hasara .
Hayo yameelezwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za serikali (CAG) Charles Edward Kichere, alipokuwa akitoa taarifa kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma.
0 Comments