TANGAZA NASI

header ads

ATCL latengeza hasara ya shilingi bilioni 60

 


Shirika la ndege Tanzania, ATCL latengeza hasara ya shilingi bilioni 60 mwaka huu, lakini kwa miaka mitano pia limekuwa likitengeneza hasara .


Hayo yameelezwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za serikali (CAG) Charles Edward Kichere, alipokuwa akitoa taarifa kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma.

Post a Comment

0 Comments