TANGAZA NASI

header ads

Majaliwa apita bila kupingwa



Mgombea ubunge wa Ruangwa Mkoa wa Lindi kupitia CCM, Kassim Majaliwa ametangazwa na msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo, Frank Chonya kupita bila kupingwa na kumkabidhi barua. Majaliwa ni Waziri Mkuu wa Tanzania.

Post a Comment

0 Comments