Home
About
Contact
NPC MEDIA
TANGAZA NASI
Home
HABARI
SIASA
BIASHARA
TEKNOLOJIA
MICHEZO
Home
Thobias Andengenye aliyewahi kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kigoma
Thobias Andengenye aliyewahi kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kigoma
NJOMBEPRESSCLUB
July 03, 2020
Rais Magufuli amemteua Thobias Andengenye (aliyewahi kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji) kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. Andengenye anachukua nafasi ya Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga ambaye amestaafu.
Post a Comment
0 Comments
MITANDAO YA KIJAMII
Popular Posts
Trump aiomba China imsaidie kushinda uchaguzi mkuu ujao
June 18, 2020
Uganda kufungua milango kwa watalii
September 21, 2020
Ufaransa kukarabati jengo la Uwanja wa Ndege
February 20, 2021
Technology
3/Technology/post-list
0 Comments