TANGAZA NASI

header ads

Rais wa Uturuki azungumza kwa njia ya simu na Kansela wa Ujerumani


Rais Erdoğan azungumza kwa njia ya simu na Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel kuhusu ushirikiano.


Kitengo kinachohusika na upashaji habari ikulu ya rais mjini Ankara , mkurugenzi wake amesema kwamba viongozi hao wamezungumza kuhusu ushirikiano katika nyanja tofauti kati ya Uturuki na Ujerumani , ikiwemo oia ushirikiano  katika kupambana na maambukizi ya virusi vya corona.

Katika mazungumzo yao , rais Erdoğan na Bi Merkel wamejadili pia hali inayoendelea nchini Libya, Syria na katika ukanda mzima wa Mashariki ya Kati.

Post a Comment

0 Comments