TANGAZA NASI

header ads

MKUU WA MKOA WA TABORA AGGREY MWANRI ASTAAFU,JPM ATEUA MWINGINE




Rais Magufuli leo amemteua Dkt. Philemon Sengati kuwa Mkuu wa Mkoa Tabora akichukua nafasi ya Aggrey Mwanri ambaye amestaafu, kabla ya uteuzi huo Sengati alikuwa DC wa Magu Mkoani Mwanza, nafasi ya Sengati inachukuliwa na Salum Kali ambaye alikuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza.

Post a Comment

0 Comments