Taasisi ya Kuzia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kigoma
inakabiriwa na changamoto ya uwepo wa watu wanaojitambulisha kuwa ni
Maafisa wa Taasisi hiyo na kuwatapeli wananchi kinyume cha sheria.
Akitoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kigoma Nestory Gatahwa amesema changamoto hiyo inazidi kushamiri katika baadhi ya maeneo ya Mkoa huo na hivyo wanachi wanatakiwa kutoa ushirikiano ili kukomesha suala hilo kufuatia changamoto..{muungwana blog}
Akitoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kigoma Nestory Gatahwa amesema changamoto hiyo inazidi kushamiri katika baadhi ya maeneo ya Mkoa huo na hivyo wanachi wanatakiwa kutoa ushirikiano ili kukomesha suala hilo kufuatia changamoto..{muungwana blog}


0 Comments