TANGAZA NASI

header ads

Wachezaji wa Kikosi cha Simba Luis Miquissone na Pascal Wawa warejea Nchini




Luis Miquissone na Pascal Wawa wamerejea nchini na watakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitaenda jijini Arusha kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa jumapili Agosti 30, 2020.

Post a Comment

0 Comments