TANGAZA NASI

header ads

CHADEMA wataka jeshi la polisi kuacha kujihusisha na matukio ya kisiasa




Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia kwa katibu wake mkuu John Mnyika kimetoa wito kwa jeshi la polisi nchini kuacha kujihusisha na matukio ya kisiasa yenye muelekeo wa kufanya propaganda.

Mnyika ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari.

"Natoa wito wa wazi kwa IGP na Jeshi la
kuacha kujihusisha na matukio ya kisiasa yenye muelekeo wa kufanya propaganda hasi za kukibeba Chama kimoja kuelekea uchaguzi Mkuu, lijikite kwenye wajibu wake kuhakikisha ulinzi na usalama" Katibu Mkuu
Mhe


"Katika muda muafaka
tutawaongoza wananchi kuhusu namna gani uchaguzi huu usio na Tume Huru ya Uchaguzi, ulio na kanuni mbovu, lakini bado tutazilinda kura kwa nguvu ya umma kuhakikisha haki inatendeka na mabadilko yanatokea" Katibu Mkuu

"Hii kauli ya Jeshi la
kwamba litashughulika na watakaolinda kura kwenye Uchaguzi Mkuu, hii kauli ya Jeshi la Polisi inatoka wiki chache baada ya vyama vya upinzani kulalamikia kanuni za uchaguzi, na kutokuwa na uchaguzi huru"
"Kauli za Jeshi la Polisi haziwezi kuturudisha nyuma kwenye kazi ya kuwaunganisha wananchi , kuwezesha mabadilko kwenye nchi yetu na Chadema kushinda uchaguzi na kuiondoa Serikali iliyopo madarakani katika sanduku la kura" Katibu Mkuu
Mhe


Post a Comment

0 Comments