TANGAZA NASI

header ads

Kubenea aondolewa kizuizi



 Kamati ya Maadili ya Kitaifa ya NEC leo imetengua uamuzi wa kamati ya maadili Jimbo la Kinondoni iliyomfungia kufanya kampeni mgombea ubunge wa Jimbo hilo, Saed Kubenea wa ACT-Wazalendo siku saba kuanzia 21-27 Oktoba akituhumiwa kutoa lugha zisizotakiwa dhidi ya mgombea wa CCM.

Post a Comment

0 Comments