TANGAZA NASI

header ads

“hatujazuia Ndege za TZ"James Macharia


Waziri wa Uchukuzi Kenya James Macharia amesema anga la Kenya limefunguliwa leo baada ya kufungwa kwa zaidi ya miezi 3 kupisha corona.

Machari amesema “hatujazuia Ndege za TZ ni mambo madogo tu, kabla ya siku haijaisha Watanzania watakuja Kenya na tunaamini wataturuhusu kwenda kwao”

Post a Comment

0 Comments