TANGAZA NASI

header ads

TCRA Yaifungia Kwanza Tv Kwa Miezi 11


Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekifungia kituo cha Kwanza Online TV  kwa muda wa miezi kumi na moja (11) baada ya kusikiliza shauri la ukiukaji wa kanuni za utangazaji kufuatia taarifa iliyochapishwa katika ukurasa wake wa Instagram

Post a Comment

0 Comments