TANGAZA NASI

header ads

Madereva wa basi walioonekana mitandaoni wakiendesha magari kwa kushindana watiwa nguvuni




"Hili suala la madereva ambao mmeona clip inatembea ikionesha Mabasi ya Rungwe na Happy Nation wanakimbizana ili kuona nani wa kwanza kufika kwenye stendi fulani, tumekuja kubaini hawa madereva wali-bet hiki kitendo tunakikemea kwa nguvu"- Kamanda Musilimu.

"Sheria inanipa uwezo wa kuwaondolea sifa wa kuendesha haya magari ya mizigo na biashara na kwa miezi 6, hawa hawatokuwa barabarani wakiendesha magari labda hivi vigari vidogo"- Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Fortunatus Muslimu.

Post a Comment

0 Comments