Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amekanusha taarifa zilizosambaa kwamba amekimbizwa nje ya Nchi baada ya kuugua corona
Wiki iliyopita Makamu wa Rais wa Nchi hiyo Riek Machar na Mkewe pamoja na wafanyakazi tisa wa Ofis ya Makamu wa Rais walibainik kuwa na corona na kwa sasa wamejitenga kwa siku 14.
0 Comments